• HABARI MPYA

    Saturday, September 14, 2013

    YANGA SC ILIVYOSHIKWA NA MBEYA CITY LEO SOKOINE, MANJI HADI HURUMA

    IMEWEKWA SEPTEMBA 14, 2013 SAA 3:51 USIKU
    Wachezaji wa Yanga SC wakishangilia bao la kusawazisha katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City, Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Timu hizo zilitoka 1-1.

    Atumani Iddi 'Chuji' akimtoka mchezaji wa Mbeya City

    Frank Domayo wa Yanga akipambana na mchezaji wa Mbeya City

    Frank Domayo amefumua shuti

    Said Bahanuzi anajiandaa kupiga krosi 

    Didier Kavumbangu akipambana na beki wa Mbeya City...kulia ni Hussein Javu

    Hussein Javu anapiga shuti

    Beki wa Mbeya City akimdhibiti Hussein Javu, ili kipa wake adake mpira 

    Said Bahanuzi akipiga shuti

    Kipa bora wa Ligi Kuu msimu uliopita, David Burhan akidaka mpira mbele ya Didier Kavumbangu 

    Wachezaji wa Yanga wakimzonga refa baada ya kukataa bao lao

    Wachezaji wa Yanga wakimuambia refa amuangalia mshika kibendera kakubali bao

    Mashabiki wa Mbya City

    Hussein Javu kushoto akimtoka beki wa Mbeya City, huku Nizar Khalfan akijipanga kuomba pasi

    Mwagane Yeyo wa Mbeya City akiruka mkugombea mpira wa juu na beki wa Yanga SC, Nadir Haroub 'Cannavaro'

    Didier Kavumbangu akigombea mpira na beki wa Mbeya City

    Mwenyekiti wa Yanga SC, Yussuf Manji akiwa ameshika tama jukwaani

    Mshambuliaji wa Yanga SC, Simon Msuva ambaye alikuwa nje leo akiwa ameshika tama 

    Haruna Niyonzima na Mrisho Ngassa wakiwa hawaamini macho yao

    Shabiki wa Yanga SC, Paulina aliyesafiri kutoka Dar es Salaam kuja kuisapoti timu yake leo akiwa hoi Uwanja wa Sokoine leo 

    Kikosi cha Yanga SC kilichoanza leo

    Kikosi cha Mbeya City leo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: YANGA SC ILIVYOSHIKWA NA MBEYA CITY LEO SOKOINE, MANJI HADI HURUMA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top