![]() |
Atumani Iddi 'Chuji' akimtoka mchezaji wa Mbeya City |
![]() |
Frank Domayo wa Yanga akipambana na mchezaji wa Mbeya City |
![]() |
Frank Domayo amefumua shuti |
![]() |
Said Bahanuzi anajiandaa kupiga krosi |
![]() |
Didier Kavumbangu akipambana na beki wa Mbeya City...kulia ni Hussein Javu |
![]() |
Hussein Javu anapiga shuti |
![]() |
Beki wa Mbeya City akimdhibiti Hussein Javu, ili kipa wake adake mpira |
![]() |
Said Bahanuzi akipiga shuti |
![]() |
Kipa bora wa Ligi Kuu msimu uliopita, David Burhan akidaka mpira mbele ya Didier Kavumbangu |
![]() |
Wachezaji wa Yanga wakimzonga refa baada ya kukataa bao lao |
![]() |
Wachezaji wa Yanga wakimuambia refa amuangalia mshika kibendera kakubali bao |
![]() |
Mashabiki wa Mbya City |
![]() |
Hussein Javu kushoto akimtoka beki wa Mbeya City, huku Nizar Khalfan akijipanga kuomba pasi |
![]() |
Mwagane Yeyo wa Mbeya City akiruka mkugombea mpira wa juu na beki wa Yanga SC, Nadir Haroub 'Cannavaro' |
![]() |
Didier Kavumbangu akigombea mpira na beki wa Mbeya City |
![]() |
Mwenyekiti wa Yanga SC, Yussuf Manji akiwa ameshika tama jukwaani |
![]() |
Mshambuliaji wa Yanga SC, Simon Msuva ambaye alikuwa nje leo akiwa ameshika tama |
![]() |
Haruna Niyonzima na Mrisho Ngassa wakiwa hawaamini macho yao |
![]() |
Shabiki wa Yanga SC, Paulina aliyesafiri kutoka Dar es Salaam kuja kuisapoti timu yake leo akiwa hoi Uwanja wa Sokoine leo |
![]() |
Kikosi cha Yanga SC kilichoanza leo |
![]() |
Kikosi cha Mbeya City leo |