![]() |
| Mshambuliaji wa Azam FC, Muamad Ismael Kone kulia akipambana na mabeki wa Ashanti United kugombea mpira wa kona |
![]() |
| Kipa wa Ashanti, Juma Mpongo wa tatu kushoto akiwa amepangua mpira wa juu |
![]() |
| Beki wa Ashanti, akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Azam, Gaudence Mwaikimba |
![]() |
| Kiungo wa Azam FC, Ibrahim Mwaipopo akimtoka beki wa Ashanti Abdul Mtiro |
![]() |
| Beki wa Azam, Samih Hajji Nuhu kulia akimtoka beki wa Ashanti |
![]() |
| Muamad Ismael Kone akimtoka beki wa Ashanti |
![]() |
| Kipa wa Ashanti, Juma Mpongo akipatiwa huduma ya kwanza baada ya kuumia |
![]() |
| Mchezaji wa Ashanti akipiga mpira kichwa dhidi ya mshambuliaji wa Azam, Gaudence Mwaikimba |
![]() |
| Farid Mussa wa Azam akipiga kichwa dhidi ya beki wa Ashanti |
![]() |
| Timu zinaingia uwanjani |













.png)
0 comments:
Post a Comment