Borini akishangilia baada ya kuiangamiza Man United usiku huu
|
Ryan Giggs alijifunga dakika ya pili ya pili ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 45 za kipindi cha kwanza na Borini akaifungia Sunderland bao la pili kwa penalti dakika ya 65, wakati bao la kufutia machozi la United limefungwa na Vidic dakika ya 52.
| Hapa Vidic akishangilia baada ya kuifungia Man United |


.png)
0 comments:
Post a Comment