• HABARI MPYA

    Sunday, January 05, 2014

    MAN UNITED MWAKA WA TABU, YATOLEWA KOMBE LA FA, YAPIGWA 2-1 NA SWANSEA

    MIKOSI imeendelea kwa kocha David Moyes, baada ya Manchester United kufungwa mabao 2-1 na Swansea katika Raundi ya tatu ya Kombe la FA na kutolewa.
    Bao lililoizamisha United iliyocheza pungufu ya mchezaji mmoja lilifungwa na Wilfried Bony dakika ya mwisho na Mashetani Wekundu wa wanatolewa katika raundi ya tatu kwa mara pili ndani ya miaka 30.
    Javier Hernandez aliisawazishia United dakika ya 17 baada ya Wayne Routledge kuifungia Swansea bao la kuongoza dakika ya 12.
    Shujaa: Bony akishangilia baada ya kuifungia Swansea bao lililoipeleka raundi ya nne ya Kombe la FA
    Perfect: Bony rose above the United defence to head home Wayne Routledge's left-wing cross
    Bony akiruka dhidi ya mabeki wa United kufunga

    Katika mchezo mwingine, Liverpool imeifunga mabao 2-0 Oldham na kusonga mbele mabao ya Iago Aspas dakika ya 54 na Tarkowski aliyejifunga dakika ya 84.
    The opener: Iago Aspas gave Liverpool the lead against Oldham in the 54th minute
    Bao la kwanza: Iago Aspas akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED MWAKA WA TABU, YATOLEWA KOMBE LA FA, YAPIGWA 2-1 NA SWANSEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top