![]() |
| Zahor Pazi akiwalamba chenga mabeki wa KMKM |
![]() |
| Abdulhalim Humud 'Gaucho' alicheza vyema katika kiungo |
![]() |
| Beki wa KMM, Khamis Ali akimdhibiti mshambuliaji wa Simba SC, Ali Badru |
![]() |
| Ali Badru akimtoka Khamis Ali |
![]() |
| Miraj Athumani 'Madenge' akimtoka mchezaji wa KMKM |
![]() |
| Kipa wa KMKM, Mudathir Khamis akidaka mpira mbeleya mshambuliaji wa Simba SC, Betram Mombeki huku beki wake akimlinda |
![]() |
| Betram Mombeki akiutengeneza mpira mbele ya mabeki wa KMKM |
![]() |
| Kocha Msaidizi wa Simba SC, Suleiman Matola katikati akiwapa maelekezo ya kitaalamu wachezaji wake, Said Ndemla kulia na Adeyum Saleh kushoto kabla ya kuingia uwanjani wakitokea benchi |
![]() |
| Kocha wa KMKM, Ali Bushiri akitafakari wakati mchezo ukiendelea huku timu yake iko nyuma kwa bao 1-0 |












.png)
0 comments:
Post a Comment