![]() |
| Beki wa KCC akimdhibiti Messi |
![]() |
| Haroun Chanongo akiwatoka wachezaji wa KCC pembeni kushoto |
![]() |
| Beki wa KCC akiondosha mpira hatarini dhidi ya mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe |
![]() |
| Messi alihaha Uwanja mzima jana, lakini wapi |
![]() |
| Nafasi pekee nzuri ya Simba SC kupata bao aliipata Messi, lakini pamoja na kuwatoka vizuri mabeki akakwama kwa kipa Magoola Omar |
![]() |
| Messi alijaribu kumpiga chenga kipa huyo, lakini Magoola akaupiga mpira ukaenda nje na Messi akapitiliza |
![]() |
| Stephen Bengo wa KCC kushoto akipambana na viungo wa Simba SC |
![]() |
| Haroun Chanongo kulia akitafuta maarifa ya kumpita beki wa KCC |
![]() |
| Jonas Mkude alijaribu kupiga shuti la mbali, lakini likapaa juu kidogo ya lango |
![]() |
| Betram Mombeki wa Simba SC akimtoka beki wa KCC |
![]() |
| Kikosi cha Simba SC jana |
![]() |
| Kikosi cha KCC |
![]() |
| Wazee wa benchi; Wachezaji wa akina wa Simba SC, kutoka kulia ni Zahor Pazi, Abdulhalim Humud 'Gaucho', Kaze Gilbert chini na Yaw Berko |
















.png)
0 comments:
Post a Comment