MDAU wa soka, Yussuf Bakhresa amejitolea kugombea Uenyekiti wa Simba SC katika uchaguzi ujao. Yussuf, mkazi wa Gongolamboto, Dar es Salaam, amechukua fomu za kugombea nafasi hiyo leo makao makuu ya jeshi la Polisi na amesema anataka kuifanya klabu hiyo iwe maarufu nchini. Lakini amesema atarejesha fomu hizo iwapo tu atajitokeza mwanachama mwingine kuomba nafasi hiyo. 1st April, 2014.
Cardi B's boyfriend Stefon Diggs' paternity test confirms he fathered
Instagram model's baby
-
The 31-year-old Diggs, who is expecting a child with Cardi B later this
year, had initially disputed fathering the child with Aileen Lopera, known
as Lord ...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment