MDAU wa soka, Yussuf Bakhresa amejitolea kugombea Uenyekiti wa Simba SC katika uchaguzi ujao. Yussuf, mkazi wa Gongolamboto, Dar es Salaam, amechukua fomu za kugombea nafasi hiyo leo makao makuu ya jeshi la Polisi na amesema anataka kuifanya klabu hiyo iwe maarufu nchini. Lakini amesema atarejesha fomu hizo iwapo tu atajitokeza mwanachama mwingine kuomba nafasi hiyo. 1st April, 2014.
How a Tory MP 37 years ago has inspired a Labour MP’s ‘stalking horse’
leadership challenge to Starmer
-
NEWS ANALYSIS: Political editor David Maddox looks at how Sir Anthony
Meyer’s challenge to Margaret Thatcher in 1989 is now being played out in
2026 by Cat...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment