Mkali: Mshambuliaji wa Liverpool, Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi katika mchezo wa kujiandaa na msimu usiku wa kuamkia leo dhidi ya Olympiacos ya Ugiriki, Kombe la Kimataifa. Liverpool itacheza pia na AC Milan na Manchester City katika Kundi B la michuano hiyo.
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment