Dili limetiki: Mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji, Romelu Lukaku akiwa ameshika jezi ya Everton pamoja na kocha Roberto Martinez jana, baada ya kukamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 28 kutoka Chelsea. Lukaku alijiunga na Chelsea misimu mitatu iliyopita lakini akaambulia kucheza mechi 10 tu za Ligi Kuu England Stamford Bridge kabla ya kutolewa kwa mkopo West Brom na baadaye Everton anakohamia jumla.
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment