Novak Djokovic akipeana mikono na Stan Wawrinka baada ya kumfunga katika Nusu Fainali ya Australian Open leo kwa seti 3-2 (7-6, 3-6, 6-4, 4-6, 6-0) Uwanja wa Rod Laver Arena na sasa atamenyana na Andy Murray katika fainali Jumapili mjini Melbourne. Ikumbukwe, Djokovic alimfunga Murray katika fainali za michuano hiyo mwaka 2011 na 2013.
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment