Novak Djokovic akipeana mikono na Stan Wawrinka baada ya kumfunga katika Nusu Fainali ya Australian Open leo kwa seti 3-2 (7-6, 3-6, 6-4, 4-6, 6-0) Uwanja wa Rod Laver Arena na sasa atamenyana na Andy Murray katika fainali Jumapili mjini Melbourne. Ikumbukwe, Djokovic alimfunga Murray katika fainali za michuano hiyo mwaka 2011 na 2013.
Stephen A. Smith's ESPN colleagues 'ordered to cut ties with gaming app
after he hyped controversial company'
-
ESPN reportedly ordered some of its on-air talent to cut ties with a
controversial online gaming app without asking the same of the network's
biggest star,...
42 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment