Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwa ameweka mpira ndani ya jezi yake baada ya kufunga mabao manne peke yake katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Celta Vigo kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Pepe, Jese Rodriguez na Gareth Bale, wakati la Celta Vigo limefungwa na Iago Aspas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Tszyu delivers a VERY stinging sledge as Sebastian Fundora title fight
gets personal
-
Tim Tszyu says this one is personal with the Australian superstar pledging
to put Sebastian Fundora in his place and join his Hall of Fame father as a
mult...
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment