Mshambuliaji kinda wa Manchester United, Marcus Rashford ambaye Watanzania wanamtania ana asili ya Pemba akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee dakika ya 16 ikishinda 1-0 dhidi ya mahasimu, Manchester City Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England too strong for Sweden? Brown-Finnis' Euros predictions -
quarter-finals
-
Former England goalkeeper and BBC pundit Rachel Brown-Finnis gives her
predictions for the four quarter-final ties at the 2025 European
Championship.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment