Mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika sare ya 2-2 na wenyeji Brazil usiku wa jana Uwanja wa Pernambuco Arena mjini Recife kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia. Bao lingine la Uruguay lilifungwa na Edinson Cavani, wakati ya Brazil yalifungwa na Douglas Costa na Renato Augusto. Ikumbukwe Suarez alikuwa anaichezea kwa mara ya kwanza Uruguay baada ya miezi 20 ya kutumikia adhabu yake ya kufungiwa kwa kumng'ata Giorgio Chiellini kwenye fainali za kombe la Dunia mwaka 2014 Brazil PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England too strong for Sweden? Brown-Finnis' Euros predictions -
quarter-finals
-
Former England goalkeeper and BBC pundit Rachel Brown-Finnis gives her
predictions for the four quarter-final ties at the 2025 European
Championship.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment