Beki wa Azam FC, Shomari Kapombe (kushoto) akikabidhiwa mfano wa hundi ya Sh. Milioni 1 baada ya kushinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara mwezi Januari leo asubuhi viwanja vya Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam kutoka kwa wadhamini wakuu wa ligi hiyo, Kampuni ya Vodacom Tanzania. Wengine kutoka kulia ni Ofisa wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), Joel Balisidya, Ofisa Matukio na Udhamini wa Vodacom, Ibrahim Kaude na Meneja wa Azam, Luckson Kakolaki
Go inside surf legend Mick Fanning's uber-luxurious new beachside home
after a stalker forced him to sell his $16million oceanfront mansion
-
Mick Fanning and his partner Breeana Randall have revealed that they are in
the process of building a sensational new mansion on the Gold Coast.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment