MBWANA SAMATTA AANZA MAZOEZI MEPESI UTURUKI BAADA YA KUWA NJE ZAIDI YA MWEZI KWA MAUMIVU
BAADA ya kuwa nje kwa zaidi ya mwezi akisumbuliwa na maumivu, mshambuliaji wa kimataifa, Mbwana Ally Samatta anayechezea Fenerbahce ya Uturuki meanza mazoezi mepesi. Samatta amechea mechi saba tu na kufunga mabao mawili tangu asajiliwe Fenerbahce msimu huu.
0 comments:
Post a Comment