BASI jipya la Azam FC aina ya Mercedes Benz Irizar i6S Plus, aina ya mabasi yanayotumiwa na klabu kubwa Ulaya linalokuja kuleta upekee kwenye soka ya Tanzania.
Azam FC imekuwa klabu inayoongoza kwa huduma bora kwa timu yake, japokuwa bado haipati matokeo yanayolingana na uwekezaji wake
Man Utd make £74m bid for striker Sesko
-
Manchester United make a bid for RB Leipzig striker Benjamin Sesko with the
overall package potentially rising to 85m euros (£73.8m).
0 comments:
Post a Comment