// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); ADEBAYOR APEWA UNAHODHA SPURS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE ADEBAYOR APEWA UNAHODHA SPURS - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Tuesday, September 16, 2014

        ADEBAYOR APEWA UNAHODHA SPURS

        NYOTA wa Togo, Emmanuel Adebayor ameteuliwa kuwa Nahodha Msaidizi wa Tottenham Hotspur, chini ya Mfaransa Younes Kaboul.
        Mfaransa huyo ameiongoza Spurs mara kadhaa msimu huu kama nahodha wa mechi na sasa kocha Mauricio Pochettino amempa moja kwa moja beji hiyo akirithi mikoba ya beki Michael Dawson, aliyehamia Hull City mwezi uliopita.
        Adebayor atakuwa Nahodha Msaidizi pamoja na kipa Hugo Lloris.
        Saluti kwa Nahodha; Emmanuel Adebayor amereuliwa kuwa Nahodha Msaidizi Spurs chini ya  Younes Kaboul 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: ADEBAYOR APEWA UNAHODHA SPURS Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry