Waandaaji Miss Kigamboni, Somoe Ng'itu kushoto na Angela Msangi kulia |
Kimwana akijipodoa shoo ikiendelea |
Mtoto Bite wa Mwalimu Nyerere Academy |
Wageni rasmi, Madiwani Suleiman Mathew kushoto na Doto kulia. Pembeni ya Doto ni Mama Cynthia Henjewele na pembeni na Mathew ni mke wake |
Wazee wa Ngwasuma, Nyoshi El Saadat akimchezesha sebene la Mundes mnenguaji wa bendi hiyo |
Queen Suzzy akifanya vitu |
Diwani Mayhew anapiga picha warembo jukwaani |
Jaji Mkuu, Benny Kisaka katikati na wasaidizi wake pembeni, kulia Victor Robert Willy na kushoyo Rutta |
0 comments:
Post a Comment