![]() |
| Mwenyekiti wa ZFA, Aman Ibrahim Makungu akisalimiana na mshambuliaji wa Simba, Felix Sunzu |
![]() |
| Kikosi chs Simba SC jana |
![]() |
| Mchezaji wa Jamhuri akigombea mpira na mchezaji wa Simba |
![]() |
| Mwinyi Kazimoto akimtoka mchezaji wa Jamhuri |
![]() |
| Miraj Adam akipanda kusaidia mashambulizi |
![]() |
| Shomary Kapombe akipambana na mchezaji wa Jamhuri |
![]() |
| Mchezaji wa Jamhuri akipambana na wachezaji wa Simba |
![]() |
| KIpa Jaffar Said wa Jamhuri akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba SC, Felix Sunzu huku akilindwa na beki wake |
![]() |
| Kizazaa langoni mwa Jamhuri |
![]() |
| Kiungo wa Simba, Haruna Chanongo akiifungia Simba bao la kwanza kwa kichwa |
![]() |
| Chanongo akimshukuru Kiggi Makassy kwa kupiga kona nzuri aliyoiunganisha nyavuni kwa kichwa (hapo juu) |
![]() |
| Simba SC wakishangilia ushindi wao jana. |

















.png)