![]()  | 
| Ngassa akimtoka beki wa Libolo, Antonio Cassule | 
![]()  | 
| Haruna Chanongo wa SImba akipasua katikati ya wachezaji wa Libolo | 
![]()  | 
| Ngassa akimtoka Cassule | 
![]()  | 
| Ngassa na Cassule | 
![]()  | 
| Kiungo wa Simba SC, Amri Kiemba (kushoto) akiwania mpira dhidi ya beki wa Libolo, Pedro Ribeiro kulia | 
![]()  | 
| Simba na Libolo wakiingia uwanjani | 
![]()  | 
| Kikosi cha Libolo leo | 
![]()  | 
| Simba wakiomba dua na nyuma yao ni Libolo pia wakiomba dua | 
![]()  | 
| Kikosi cha Simba SC leo | 
![]()  | 
| Wachezaji wa Simba SC wakiwapungia mikono mashabiki wao kabla ya mechi | 
![]()  | 
| Mrisho Ngassa akipiga krosi baada ya kufanikiwa kumtoka beki wa Libolo | 
![]()  | 
| Kipa wa Simba, Juma Kaseja akienda kuokota mpira nyavuni baada ya Libolo kufunga bao | 
![]()  | 
| Libolo wakiwapungia mikono mashabiki wa Yanga baada ya mechi kuwashukuru kwa kuwashangilia | 
![]()  | 
| Haruna Moshi 'Boban' (kushoto) akipiga shuti mbele ya beki wa Libolo | 
![]()  | 
| Beki wa Simba, Juma Nyosso akimiliki mpira mbele ya beki wa Libolo | 
![]()  | 
| Haruna Chanongo akipasua katikati ya mabeki wa Libolo | 
![]()  | 
| Kiungo wa Libolo, Manuel Lopez akiondoka na mpira baada ya kumzidi maarifa Mwinyi Kazimoto wa Simba SC | 
![]()  | 
| Manuel Lopez kulia akigombea mpira na Mwinyi Kazimoto wa Simba SC kushoto | 
![]()  | 
| Mwinyi Kazimoto akigombea mpira wa juu na kiungo wa Libolo | 
![]()  | 
| Beki wa Simba SC, Shomary Kapombe akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Libolo | 
![]()  | 
| Haruna Moshi 'Boban' akimtoka beki wa Libolo | 
![]()  | 
| Amri Kiemba akimtoka beki wa Libolo | 
![]()  | 
| Mwinyi Kazimoto wa Simba akigombea mpira wqa juu na kiungo wa Libolo | 


























.png)