• HABARI MPYA

    Saturday, March 16, 2013

    UZINDUZI WA JOTO HASIRA KWAHERI SHIDA ULIVYOFANA NYUMBANI LOUINGE USIKU HUU

    Mwanamuziki Lady Jaydee akiimba wimbo wake mpya wa Joto Hasira wakati wa uzinduzi wa video ya wimbo huu usiku huu kwenye ukumbi wa Nyumbani Lounge, Ada Estate maeneo ya Namanga, Dar es Salaam.

    Jide akiimba wimbo huo kwa hisia

    Mtayarishaji mkongwe wa Bongo Fleva nchini na DJ maarufu, Bonny Love kuli akiwa rafiki yake Qarim Shambe katika uzinduzi huo

    Kimwana Johari katika uzinduzi huo

    Jide akiimba

    Jide akihojiwa na Waandishi wa Habari kuhusu video hiyo

    Nyomi ndani ya Nyumbani Lounge wakati uzinduzi huo

    Mashabiki kwa raha zao

    Jide akitazama kwa utulivu video hiyo

    Mwimbaji wa Machozi Band, Mayunga Nalimi akiimba katika uzinduzi huo

    Bonny Luv akiwa na patna wake wa miaka mingi, Mboni Masimba 'Eto'o' kulia

    Bonny Luv akiwa kijana wake wa siku nyingi, Bin Zubeiry...aliyewahi kurekodi wimbo wa Hip Hop katika studio za Mawingu siku za mwanzoni kabisa za studio hiyo....Haaa haaa 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: UZINDUZI WA JOTO HASIRA KWAHERI SHIDA ULIVYOFANA NYUMBANI LOUINGE USIKU HUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top