• HABARI MPYA

    Tuesday, April 16, 2013

    CHELSEA NA MAN CITY ATAKAYESHINDWA VITA YA SAINI YA CAVANI, ATAHAMIA KWA GOMEZ WA BAYERN


    KLABU za Chelsea na Manchester City za England zinamfuatilia mshambuliaji wa Bayern Munich ya Ujerumani,  Mario Gomez. 
    Klabu zote hizo za Ligi Kuu England zinamtaka sana mpachika mabao wa Napoli ya Italia, Edinson Cavani, huku City ikifahamika kuwa katika nafasi nzuri zaidi ya kumtwaa. Timu itakayokosa saini ya nyota huyo wa Ujerumani, Gomez, na Bayern ikiwa tayari kusikiliza ofa zitakazokuja kwa ajili ya mchezaji wao huyo mwenye umri wa miaka 27, itahamishia mawindo yake huko. 
    Wakala Uli Ferber amesema: "Mario hafurahishwi na mambo kwa sasa,". 
    Unhappy: Mario Gomez (left) could leave Bayern Munich
    Hana furaha: Mario Gomez (kushoto) anaweza kuondoka Bayern Munich
    No 1: Both Chelsea and Manchester City like Edinson Cavani
    Namba 1: Chelsea na Manchester City zote zitapenda saini ya Edinson Cavan kwanza
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: CHELSEA NA MAN CITY ATAKAYESHINDWA VITA YA SAINI YA CAVANI, ATAHAMIA KWA GOMEZ WA BAYERN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top