• HABARI MPYA

    Sunday, August 04, 2013

    LIVERPOOL YAUA 2-0 KATIKA MCHEZO WA KUMUAGA STEVEN GERRARD

    IMEWEKWA AGOSTI 4, 2013 SAA 11:23 ALFAJIRI
    LIVERPOOL imeshinda 2-0 dhidi ya Olympiakos ya Ugiriki katika mchezo maalum wa kumuaga Nahodha wake, Steven Gerrard baada ya kuitumikia klabu kwa miaka 15.
    Mabao ya Wekundu hao wa Anfield katika mchezo huo yalifungwa na Joe Allen dakika ya 23 na Henderson dakika ya 62. 
    Kikosi cha Liverpool kilikuwa: Mignolet/Jones dk85 Johnson, Toure/Carragher dk62, Agger, Enrique; Allen/Henderson dk62, Gerrard/Spearing dk85, Lucas, Coutinho/Fowler dk72, Sterling/Alberto dk72 na Aspas/Suarez dk62. 
    Olympiacos: Megyeri, Maniatis, Fejsa, Mitroglou/Saviola dk56, Samaris/Weiss dk46, Holebas, Medjani/Manolas dk56, Slovas, Siovas, Campbell, Salino na Dominguez.
    Great occasion: Steven Gerrard (right) and Joe Allen celebrate after the latter opened the scoring
    Tukio kubwa: Steven Gerrard (kulia) na Joe Allen wakishangilia baada ya bao la kwanza
    Double up: Jordan Henderson struck the second goal just 12 seconds after coming on
    La pili: Jordan Henderson alifunga la pili sekunde 12 baada ya kuingia uwanjani
    On the ball: Luis Suarez was in action for Liverpool
    Luis Suarez alicheza kwa Liverpool jana
    Fans' favourite: Suarez collects the ball before the Anfield faithful
    Kipenzi cha mashabiki: Suarez akimiliki mpira upande wa mashabiki
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: LIVERPOOL YAUA 2-0 KATIKA MCHEZO WA KUMUAGA STEVEN GERRARD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top