![]() |
Kipa namba wa Yanga SC, Ally Mustafa 'Barthez' akimsaidia Dida baada ya kuumia. Wengine kulia ni Rajab Zahir na Mrisho Ngassa |
![]() |
Mrisho Ngassa akiwatoka wenzake mazoezini |
![]() |
Ngassa yupo fiti kwa ajili ya mechi ya kesho |
![]() |
Yanga SC wakijifua leo Mabibo |
![]() |
Kocha Ernie Brandts kulia akiwaongoza vijana wake mazoezini leo |