![]() |
Shabiki wa Simba SC akipuliza vuvuzela wakati wa shindano maalum kwenye kampeni za Nani Mtani Jembe BL leo |
![]() |
Mashabiki wa Simba SC wakishindana na wa Yanga SC kuvuta kamba |
![]() |
Mashabiki wa Yanga wakivuta kamba |
![]() |
Shabiki wa Yanga SC aliyeshinda shindano la kupiga danadana |
![]() |
Waafanyakazi wa TBL wakishangilia shindano la danadana |
![]() |
Mohamed Bhinda akimkabidhi zawadi shabiki wa Yanga aliyeshinda shindano la dandana |
![]() |
Mzee Kinesi akimkabidhi shabiki wa Simba SC zawadi kwa kufika fainali ya shindano la danadana |
![]() |
Shabiki wa Simba SC akiwa amefunikwa kitambaa usoni kwa ajili ya kupiga penalti katika shindano maalum |
![]() |
Kavishe akifurahia na mfanyakazi mwenzake wa TBL |
![]() |
Mzee Kinesi akihamasisha mashabik kushiriki shindano la Nani Mtani Jembe |
![]() |
Wakati wa chakula |
![]() |
Ongeza hapa; Mohamed Bhinda akichukua chakula |
![]() |
Rapa wa bendi ya Africans Stars 'Twanga Pepeta' akiburudisha mashabiki katika hafla hiyo na bendi yake hiyo |