IMEWEKWA OKTOBA 5, 2013 SAA 1:39 USIKU
KLABU ya Manchester City imemaliza rekodi ya Evertonkutofungwa katika Ligi Kuu ya England, baada ya kuifunga mabao 3-1 jioni hii.
Vipigo ya Aston Villa na Bayern Munich viliwafanya City waingie kwa hasira leo na kipa wao 'kimeo' Joe Hart na kufanya kweli Uwanja wa Etihad Stadium
Romelu Lukaku aliifungia Everton bao la kuongoza dakika ya 16, lakini Alvaro Negredo akasawazisha dakika moja baadaye na Sergio Aguero akafunga la pili kabla ya mapumziko.
Tim Howard akajifunga dakika ya 69, akitoka tu kuokoa penalti ya Aguero.
Kikosi cha Manchester City kilikuwa: Hart, Zabaleta, Kompany/Nastasic dk35, Lescott, Kolarov/Clichy dk58, Toure, Fernandhino, Milner, Negredo, Silva, Aguero/Nasri dk78.
Everton: Howard, Coleman, Jagielka, Distin, Baines, Mirallas/Deulofeu dk62, McCarthy, Naismith, Osman/Gibson dk62, Barkley, Lukaku/Kone dk82.
Back of the net: Sergio Aguero celebrates after City equalise within one minute
First blood: Romelu Lukaku (left) wheels away after scoring the opener against Joe Hart
Fast response: Alvaro Negredo (3rd right) equalises almost immediately for Manchester City
Class act: Manchester City's Sergio Aguero celebrates his goal on the stroke of half-time
Unlucky: Tim Howard was unfortunate to concede an own goal after getting his hand to a penalty
Contrasting fortunes: Joe Hart (left) and Sergio Aguero (right) could remember the game differently
Under fire: City keeper Joe Hart raised more doubts after conceding the opening goal
Close control: Sergio Aguero effortlessly takes down the ball while being pursued by Phil Jagielka
Handbags: Alvaro Negredo (left) and Seamus Coleman (centre) have a difference of opinion
Blow: Manchester City captain Vincent Kompany (centre) was forced off with a suspected thigh injury