• HABARI MPYA

    Saturday, October 05, 2013

    SIMBA SC ILIVYOVUTWA MIGUU NA RUVU SHOOTING TAIFA LEO

    IMEWEKWA OKTOBA 5, 2013 SAA 2:24 USIKU

    Mshambuliaji wa Simba SC, Haroun Chanongo akimtoka beki wa Ruvu Shooting katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 1-1.

    Haroun Chanongo akipasua, kushoto ni Henry Joseph akiwa tayari kutoa msaada

    Amri Kiemba akitafuta mbinu za kuwatoka mabeki wa Ruvu

    Betram Mombeki akigombea mpira na mchezaji wa Ruvu

    Stefano Mwasyika wa Ruvu akiondoka na mpira pembeni ya Henry Joseph

    Kipa wa Simba SC, Abbel Dhaira akiwa amedaka mpira

    Beki wa Simba SC, Joseph Owino akitafuta mbinu za kumpokonya mpira mshambuliaji wa Ruvu

    Betram Mombeki akimuinua Amisi Tambwe baada ya kuangushwa

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SIMBA SC ILIVYOVUTWA MIGUU NA RUVU SHOOTING TAIFA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top