• HABARI MPYA

    Tuesday, January 07, 2014

    ARSENAL KUMSAJILI KWA MKOPO MSHAMBULIAJI WA REAL MADRID

    TIMU ya Arsenal itaongeza juhudi katika kuhakikisha inamsajili kwa mkopo wa muda mrefu wa msimu mshambuliaji wa Real Madrid, Alvaro Morata wiki hii.
    Kuumia goti kwa Theo Walcott wakati ambao tayari Nicklas Bendtner ana matatizo ya muda mrefu ya kifundo cha mguu kunamfanya kocha Arsene Wenger alazimike kusajili mshambuliaji mpya wa kati mwezi huu.
    Anatakiwa kwa mkopo: Arsenal inataka kumsajili kwa muda mshambuliaji Real Madrid, Alvaro Morata, pichani akishangilia baada ya kufunga bao dhidi ya Levante Oktoba mwaka jana
    Fits the bill: Arsenal are unwilling to commit to a permanent signing before the summer and they believe Morata would be available on a short-term basis
    Wenger anaona Morata ni mtu sahihi kuziba pengo katika timu yake kuanzia sasa hadi mwishoni mwa msimu, lakini Real imewaambia The Gunners kinda huyo mwenye kipaji hawezi kuuzwa moja kwa moja, bali kutolewa kwa muda mfupi inawezekana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL KUMSAJILI KWA MKOPO MSHAMBULIAJI WA REAL MADRID Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top