• HABARI MPYA

    Saturday, January 18, 2014

    DZEKO AIFUNGIA BAO LA 100 MAN CITY

    TIMU ya Manchester City imefunga bao la 100 katika mashindano yote msimu huu, baada ya Edin Dzeko kufunga bao la kwanza Uwanja wa Etihad katika mchezo unaoendelea dhidi ya Cardiff.
    Nyota huyo wa Bosnian hilo linakuwa bao lake la 16 msimu huu, wakati Negredo amefunga 21 na Aguero 20, hao wakiwa wafungaji bora wa City.
    Mzigo mzima: Edin Dzeko akishangilia baada ya kuifungia bao la 100 Manchester City dhidi ya Cardiff jioni hii na chini na namna alivyofunga
    Scape it over: The 100th goal wasn't the prettiest of City's strikes this season, but they all count

    MAN CITY ILIVYOTIMIZA MABAO 100 MSIMU HUU

    BAO   TAREHE   DAKIKA  MFUNGAJI   WAPINZANI
    La 1      19/08/2013    6          Silva               Newcastle United    Nyumbani       
    La 10    17/09/2013    53        Yaya Toure    Viktoria Plzen          Ugenini        
    La 25    05/10/2013    45        Aguero          Everton                     Nyumbani       
    La 50    24/11/2013    50        Aguero          Tottenham Hotspur  Nyumbanj      
    La 75    17/12/2013    53        Dzeko            Leicester City          Ugenini     
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DZEKO AIFUNGIA BAO LA 100 MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top