Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akionekana mnyonge baada ya timu yake kufungwa na Celta Vigo mabao 4-1 jana usiku mjini Vigo katika mchezo wa La Liga. Mabao ya Celta Vigo yalifungwa na Iago Aspas aliyetemwa Liverpool mawili, Nolito na John Guidetti wakati bao pekee la Barca lilifungwa na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
As Israel strikes Iran, many wonder if the US will deepen its involvement
-
As Israeli strikes kill top Iranian generals, take out air defenses and
damage nuclear sites, many wonder if President Donald Trump will deepen
U.S. involv...
2 minutes ago
0 comments:
Post a Comment