Nyota wa Barcelona, Lionell Messi (kulia) akifumua shuti kuifungia bao la pili timu yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya Ipurua mjini Eibar. Messi amefunga mabao mawili, wakati mabao mengine yamefungwa na Munir El Haddadi na Luis Suarez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Venus Williams to make shock return to Grand Slam tennis after fibroids
surgery and 16-month absence
-
The 45-year-old is preparing for her return at the Washington Open this
week after a difficult year marked by health concerns and time away from
the court.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment