Nyota wa West Bromwich Albion, Salomon Rondon akifumua shuti huku beki wa Manchester United, Chris Smalling akijaribu kuzuia katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawthorns. WBA imeshinda 1-0, bao pekee la Rondon dakika ya 66 katika mchezo ambao United ilimaliza pungufu baada ya Juan Mata kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 26 tu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionesses turn on taking the knee: Nigel Farage delights in end of 'crazy
gesture' as players admit it has 'lost power' in racist abuse-hit build-up
to their Euro semi-final
-
Nigel Farage has rejoiced at the Lionesses' decision to abandon taking the
knee - labelling it a 'crazy gesture'. The Lionesses confirmed on Sunday
that th...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment