Mshambuliaji wa Nice, Mario Balotelli (kushoto) akimsikiliza refa (kulia). Balotelli alitolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja dakika ya mwisho katika mchezo wa Ligue 1 dhidi ya wenyeji, Bordeaux baada ya kumchezea vibaya beki Igor Lewczuk usiku wa jana timu hizo zikitoka sare ya 0-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pope, Bumrah, Bashir - how England v India will be won and lost
-
BBC Sport and data analysts CricViz look at the key battles that could
decide the outcome of the England v India Test series.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment