Mshambuliaji wa Kibrazil, Roberto Firmino akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Stoke City Uwanja wa Anfield leo. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Goals: Adam Lallana dakika ya 34, Giannelli Imbula aliyejifunga dakika ya 59 na Daniel Sturridge dakika ya 70, wakati bao la Stoke City limefungwa na Jon Walters dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Umahi: Tinubu spends ₦445.8bn on South East superhighway
-
From Isaac Anumihe, Abuja The Minister of Works, David Umahi, has directed
all regional directors of the Federal Ministry of Works to compile a
comprehen...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment