Christian Eriksen akimrukia Harry Kane kumpongeza baada ya kuifungia bao la pili Tottenham dakika ya 52 kabla ya kukosa penalti dakika ya 58 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton usiku wa jana Uwanja wa St. Mary's kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Spurs yalifungwa na Dele Alli mawili dakika za 19 na 87 na 85' Heung-Min Son dakika ya 85 wakati la wenyeji lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya pili tu ya mchezo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Boxing legend Floyd Mayweather Jr. sparks fury with comments on Israel
-
Weeks after a ceasefire agreement between Hamas militants from Gaza and
Israel's government, undefeated boxing legend Floyd Mayweather Jr. has now
entered ...
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment