Wachezaji wa Chelsea wakishangilia ushindi wao wa 13 mfululizo katika Ligi Kuu ya England baada ya kuilaza 4-2 Stoke City leo Uwanja wa Stamford Bridge. Mabao ya Chelsea yamefungwa na Gary Cahill dakika ya 34, Willian dakika ya 57 na 65 na Diego Costa dakika ya 85, wakati ya Stoke City yamefungwa na Bruno Martins-Indi dakika ya 46 na Peter Crouch dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Levy hits back at his critics in rare interview as Tottenham chief
sends warning to his club's fans and reveals why he sacked Ange Postecoglou
and hired Thomas Frank
-
Just 16 days after leading Spurs to a Europa League triumph Postecoglou was
sacked, and replaced by long-time Brentford boss Thomas Frank.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment