Eden Hazard akipongezwa na wachezaji wenzake wa Chelsea baada ya kuifungia bao la pili timu hiyo kwa penalti dakika ya 49 kufuatia yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Simon Francis katika ushindi wa 3-0 dhidi ya AFC -Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Pedro dakika ya 24 na Steve Cook dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
COSEYL commends Tinubu over Nnanna Kalu’s appointment to NASC
-
From Stanley Uzoaru, Owerri The Coalition of South East Youth Leaders
(COSEYL) has expressed gratitude to President Bola Ahmed Tinubu for
appointing Nnan...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment