Paul Pogba akiwaongoza wachezaji wenzake wa Manchester United kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Middlesbrough kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao lingine la United lilifungwa na Anthony Martial dakika ya 85 kufuatia Grant Leadbitter kuwafungia wageni bao la kuongoza dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LIV Golf makes major format change for 2026 that will delight its
multimillionaire players
-
LIV's failure to secure ranking points in the past three years has seen its
star names plummet down the global standings, with the consequence that
they ha...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment