Nyota Mbrazil, Oscar akiwa ameshika jezi ya Shanghai SIPG ya China kufuatia kujiunga nayo kwa dau la Pauni Milioni 52 kutoka Chelsea ya England. Oscar sasa atakuwa analipwa Pauni 400,000 kwa wiki timu hiyo ya Ligi Kuu ya China na kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Housing order introduced after bird flu cases
-
It follows reports of two suspected cases of bird flu in County Fermanagh
and County Tyrone.
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment