Nyota wa zamani wa Manchester United, Angel Di Maria akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili PSG dakika za 18 na 81 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Bordeaux na kutinga fainali ya Kombe la Ufaransa usiku wa jana. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Edinson Cavani dakika za 60 na 74 wakati la Bordeaux lilifungwa na Diego Rolan dakika ya 32 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Pickford reveals the unusual sport he would 'love' to take part in
but is BANNED from due to his footballing career
-
Pickford remains a regular at club level for Everton, where he has played
every Premier League game this season. He has one eye on the summer,
however, whe...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment