Andreas Weimann akimzunguka kipa Loris Karius kuifungia bao la pili Wolves dakika ya 41 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Anfield. Bao la kwanza la Wolves lilifungwa na Richard Stearman dakika ya kwanza, wakati la Liverpool lilifungwa na Divock Origi dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Like Lionel Messi' - Frank stunned by Van de Ven goal
-
Tottenham manager Thomas Frank jokes that Micky van de Ven looked like
Lionel Messi after scoring a stunning solo effort in a 4-0 win over
Copenhagen in th...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment