Pedro akijiachia juu kushangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 21 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Brentford Blues katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Willian dakika ya 14, Branislav Ivanovic dakika ya 69 na Michy Batshuayi kwa penalti dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alpha Bank SA (ATH:ALPHA) (H1 2025) Earnings Call Highlights: Strategic
Partnerships and ...
-
Alpha Bank SA (ATH:ALPHA) reports strong profit growth and strategic
expansions, while navigating currency pressures and competitive lending
markets.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment