Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akiwa amezungukwa na wachezaji wa Real Betis katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Timu hizo zimetoka 1-1, Betis wakitangulia kwa bao la Alex Alegria dakika ya 75, kabla ya Luis Suarez kuisawazishia Barca dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool feelings won't change, says Alexander-Arnold
-
Trent Alexander-Arnold says his feelings for Liverpool will not be affected
by the reception he receives on Tuesday's Anfield return with current side
Real...
40 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment