Cristiano Ronaldo akishangiliaa baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 51 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Real Sociedad jana Uwanja wa Bernabeu katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa Mateo Kovacic dakika ya 38 na Alvaro Morata dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Boxing legend Floyd Mayweather Jr. sparks fury with comments on Israel
-
Weeks after a ceasefire agreement between Hamas militants from Gaza and
Israel's government, undefeated boxing legend Floyd Mayweather Jr. has now
entered ...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment