Roberto Firmino wa Liverpool akimiliki mpira mbele ya beki wa Southampton, Ryan Bertrand katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England usiku wa Jumatano Uwanja wa Anfileld. Southampton ilishinda 1-0, bao pekee la Shane Long na kuingia fainali ya kwanza ya Kombe tangu mwaka 2003. Southampton waliingia kwenye mchezo wa leo wakiwa wanangoza bao 1-0 baada ya ushindi wa nyumbani Uwanja wa St Mary's, bao pekee la Nathan Redmond PICHA ZAIDI GONHA HAPA
Alpha Bank SA (ATH:ALPHA) (H1 2025) Earnings Call Highlights: Strategic
Partnerships and ...
-
Alpha Bank SA (ATH:ALPHA) reports strong profit growth and strategic
expansions, while navigating currency pressures and competitive lending
markets.
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment