Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia baada ya kuifungia Chile bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Ujerumani usiku wa Alhamisi Uwanja wa Kazan Arena mjini Kazan kwenye mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Ujerumani ilisawazisha kupitia kwa Lars Stindl dakika ya 41, lakini Sanchez amefanikiwa kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi kihistoria Chile akifikisha mabao 38 na kumpiku Marcelo Salas PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL star Deebo Samuel left fuming after interviewer spills secret live on
air in painful exchange
-
NFL Network's Garafolo was left red-faced at the end of an interview with
Samuel on 'Inside Training Camp Live' earlier this week. 'Alright, edit
that part...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment