Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo ameposti picha hii ya watoto wake pacha, Mateo na Eva waliozaliwa na mama ambaye hajatajwa baada ya kukutana nao kwa mara ya kwanza. Mchezaji huyo wa Real Madrid mwenye umri wa miaka 32 ambaye Jumatano timu ya taifa, Ureno ilitolewa na Chile kwa penalti 3-0 baada ya sare ya 0-0 kwenye Nusu Fainali ya Kombe la Mabara nchini Urusi, sasa anafikisha watoto watatu baada ya Cristiano Jnr wa kwanza mwenye umri wa miaka saba sasa, lakini naye mama yake hajulikani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City vs Brentford - Premier League LIVE: Citizens hoping to
close gap on league leaders Arsenal in title race
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Manchester City host Brentford at the Etihad in the Premier
League.
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment