Kiungo chipukizi wa Marseille ya Ufaransa, Andre-Frank Zambo Anguissa akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Cameroon bao la kuongoza dakika ya 45 na ushei katika sare ya 1-1 na Australia usiku wa Alhamisi Uwanja Krestovskyi mjini St. Petersburg, Urusi katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara. Australia ilisawazisha kupitia kwa Mark Milligan kwa penalti dakika ya 60PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aaron Rodgers suffers major injury scare in warmups ahead of Steelers'
clash with the Colts
-
Aaron Rodgers appeared to hurt his hand in the warmup with the Pittsburgh
Steelers, minutes before their game on Sunday against Indianapolis Colts.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment