Alexis Sanchez wa Chile akienda chini kudai penalti katika mchezo wa mwisho wa Kundi B Kombe la Mabara dhidi ya Australia leo Otkrytiye Arena mjini Moscow, Urusi timu hizo zikitoka sare ya 1-1. James Troisi alianza kuifungia Australia dakika ya 42, kabla ya Martin Rodriguez kuisawazishia Chile dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aaron Rodgers suffers major injury scare in warmups ahead of Steelers'
clash with the Colts
-
Aaron Rodgers appeared to hurt his hand in the warmup with the Pittsburgh
Steelers, minutes before their game on Sunday against Indianapolis Colts.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment