Wachezaji wa Ujerumani wakipeana mikono na wachezaji wa Australia baada ya ushindi wa 3-2 katika mchezo wa Kundi B Kombe la Mabara jana Uwanja wa Olimpiki Fisht mjini Sochi. Mabao ya Ujerumani yalifungwa na Lars Stindl dakika ya tano, Julian Draxler dakika ya 44 kwa penalti na Leon Goretzka dakika ya 48 wakati ya Australia yalifungwa na Tom Rogic dakika ya 41 na Tomi Juric dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aaron Rodgers suffers major injury scare in warmups ahead of Steelers'
clash with the Colts
-
Aaron Rodgers appeared to hurt his hand in the warmup with the Pittsburgh
Steelers, minutes before their game on Sunday against Indianapolis Colts.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment